Wednesday, September 6, 2017
Tuesday, August 22, 2017
NAMPENDA KUTOKA MOYONI(SEHEMU YA PILI)
Katika sehemu ya kwanza tumeona Asha na Athumani wakiwa shuleni,hadi kufika wakati wakawa na uamuzi wa kuishi kama mke na mume,baada ya kufunga ndoa,na kuanza maisha yao DaresSalaam.Athumani alikuwa Afisa masoko wizarani.Maisha yao ,yalikuwa mazuri sana.(sasa endelea.....) Thomas ni katibu mkuu ,wizara ya viwanda na biashara,alikuwa ni rafiki mkubwa wa Athumani,Thomas alikuwa ni mtu mwenye msaada mkubwa kwa Athumani,na ndiye aliyefanya mipango ya kazi kwa Athumani.Siku moja Thomas ,alimualika nyumbani kwake Athumani,kwa ajili ya chakula cha mchana.Athumani alifika kwa Thomas muda muwafaka,Thomas akaanza kumtambulisha Athumani kwa mke wake Irene,baada ya hapo ,akawaita watoto wake wawili,ambao wote ni mabinti,Maria na Rehna.Athumani alipowaangalia wale mabinti,alivutiwa sana na Rehna kwa uzuri,aliokuwa nao.Rehna alikuwa na miaka 19,mwenye umbo la kuchanganya mwanaume yeyote duniani.Thomas akamkaribisha chakula Athumani,na wakaanza kula chakula.Baada ya chakula,thomas alikwenda chumbani kuongea na mke wake,muda huo Rehna alikuwa yupo na Athumani,Bila kuchelewa Athumani akamwambia Rehna chukuwa namba yangu ya simu,nitakuwa na maongezi na wewe.Rehna akachukuwa namba ya simu ,na akampatia namba yake.Thomas akatoka nje,na wakaagana na Athumani.Baada ya kuagana Athumani,akawasha gari moto na kuelekea nyumbani kwake.Alipofika akamkuta mkewe Asha ,ndio anamalizia kupika chakula.(nini kitatokea?sasa endelea sehemu ya tatu)
NAMPENDA KUTOKA MOYONI(SEHEMU YA KWANZA)
Katika maisha yangu ,tokea nikiwa mdogo,wakati nikiwa kijijini kwetu mwera,nilitokea kuwa rafiki mkubwa wa Athumani,wakati huo ,nilikuwa na miaka 7,na Athumani alikuwa na miaka 12,Katika familia yetu ya mzee jabiri,tumezaliwa 2,mimi asha,na aziza wa mwisho.Athumani na mimi ,tulibahatika kusoma shule moja ya msingi mwera,lakini ,Athumani alimaliza kwanza na kuendelea na sekondari ya Galanose iliyoko mjini Tanga.Miaka 4 ,baadae nami nikamaliza shule ya msingi na kuchaguliwa kwenda shule ya wasichana korogwe.Mahusiano yetu ,yalikuwa yakiendelea,kadri siku zilivyokuwa zikienda mbele.baada ya kuhitimu chuo kikuu,Athumani alipata kazi wizara ya viwanda na biashara,na alikuwa akifanya kazi Dare-sSalaam.Nilifanikiwa kumaliza kidato cha sita ,na sikubahatika kwenda chuo.Ndipo Athumani alipoamua kufunga ndoa na mimi.Miaka miwili baadae,tukafunga ndoa na kuanza maisha mapya ya ndoa mjini Dare-sSalaam.Kama mnavyoelewa maisha ya mjini yana misukosuko mingi na mambo mengi.Athumani alikuwa akifanya kazi kama afisa masoko wizarani,kazi ambayo ilikuwa na maslahi makubwa zaidi.Aliweza kubadilika kimaisha na kujenga nyumba nzuri maeneo ya Gongo la mboto,na pia alikuwa na usafiri wake mwenyewe.Kwa ujumla maisha ya Asha na Athuman,kama mke na mume,yalikuwa mazuri sana.Majirani zao,pia walikuwa wanajuwa upendo waliokuwa nao Asha na Athuman.(nini kitatokea?endelea sehemu ya pili
KAMA MPENZI WAKO ANA WIVU, HII INAKUHUSU SANA!
Mpenzi msomaji wangu, katika mapenzi kuna kitu kinaitwa wivu. Wivu umekuwa ukiwatesa wengi na kujikuta wakijipa presha na vidonda vya tumbo bila kutarajia.Wanaofikia hatua hii ni wale ambao wivu wao umepitiliza. Nasema umepitiliza kwa kuwa, wivu wa kawaida unatakiwa kwenye mapenzi ili yawe imara.
Kama upo kwenye uhusiano na mtu mwenye wivu uliopitiliza kiwango, unatakiwa kuwa makini sana ili msije mkaachana wakati bado mnapendana.Unaweza kuwa umeingia kwenye uhusiano na mtu ambaye kila wakati anataka kukufuatilia kujua unafanya nini, uko na nani na mambo mengine ambayo kwa upande mwingine unaweza kuona ni kero kwako.
Kikubwa hapa ni kutokasirika wala kuhisi kwamba umepata mtu asiyefaa, msumbufu, mwenye wivu wa kijinga. Tambua hiyo ni hulka yake hivyo unachotakiwa kufanya ni kujua namna utakavyokabiliana naye na kumfanya awe na amani kisha uhusiano wenu uendelee.
Kwa kulijua hilo, leo nimeona nikupe njia ambazo unaweza kuzitumia katika kukabiliana na mpenzi au mwanandoa ambaye wivu wake ni balaa. Si kwamba kwa kuyafanya hayo utamfanya asiwe na wivu, ni kwamba wivu wake hautakuwa na madhara na kwa kiasi flani utapungua.
Mshirikishe kwenye ratiba zako
Kama mpenzi wako ana wivu sana ni vyema ukamfanya ajue ratiba yako ikoje kila siku pale inapobidi. Kama uko huru si vibaya kutumia muda mwingi ukiwa naye lakini kama uko mbali, ni vyema ukamfanya ajue.
Ni vizuri akajua muda flani utakuwa wapi na nani, ukifanya nini. Kwenye suala la mapenzi wala siyo kitu kibaya hasa pale ambapo utagundua kwamba ukimpa taarifa anakuwa na amani. Hiyo itamfanya hata pale utakapokuwa mbali na macho yake asiwe na mawazo potofu licha ya kwamba kama anakupenda kweli hatakiwi kukufikiria tofauti.
Kama mpenzi wako ana wivu sana ni vyema ukamfanya ajue ratiba yako ikoje kila siku pale inapobidi. Kama uko huru si vibaya kutumia muda mwingi ukiwa naye lakini kama uko mbali, ni vyema ukamfanya ajue.
Ni vizuri akajua muda flani utakuwa wapi na nani, ukifanya nini. Kwenye suala la mapenzi wala siyo kitu kibaya hasa pale ambapo utagundua kwamba ukimpa taarifa anakuwa na amani. Hiyo itamfanya hata pale utakapokuwa mbali na macho yake asiwe na mawazo potofu licha ya kwamba kama anakupenda kweli hatakiwi kukufikiria tofauti.
Watu wajue uhusiano wenu
Ni jambo zuri kumfanya mpenzi wako awe sehemu ya maisha yako. Usimtenge wala kumbagua. Ndugu zako wote, marafiki pamoja na wafanyakazi wenzako itakuwa poa sana kama utamtambulisha kwao.
Usiwe na tabia ya kumuacha nyumbani na kwenda mitoko mbalimbali na marafiki zako au kwenye sherehe bila yeye. Hii itamfanya awe na wivu na ahisi huenda una mwingine wa kwenda naye, mwenye vigezo vya kujulikana kwa marafiki zako na ndugu zako.
Ni jambo zuri kumfanya mpenzi wako awe sehemu ya maisha yako. Usimtenge wala kumbagua. Ndugu zako wote, marafiki pamoja na wafanyakazi wenzako itakuwa poa sana kama utamtambulisha kwao.
Usiwe na tabia ya kumuacha nyumbani na kwenda mitoko mbalimbali na marafiki zako au kwenye sherehe bila yeye. Hii itamfanya awe na wivu na ahisi huenda una mwingine wa kwenda naye, mwenye vigezo vya kujulikana kwa marafiki zako na ndugu zako.
Simu iwasogeze karibu
Hakuna kitu kibaya kama kupitisha siku nzima bila kumtumia meseji wala kumpigia simu mpenzi wako. Kumbuka simu ukiitumia vizuri inaweza kukufanya ukawa karibu zaidi na mpenzi wako.
Kwa ulimwengu wa sasa ukiwa ni mgumu kutuma sms wala kupiga simu, mwenzi wako atahisi una mtu mwingine ‘anayeku-keep bize’.
Hakuna kitu kibaya kama kupitisha siku nzima bila kumtumia meseji wala kumpigia simu mpenzi wako. Kumbuka simu ukiitumia vizuri inaweza kukufanya ukawa karibu zaidi na mpenzi wako.
Kwa ulimwengu wa sasa ukiwa ni mgumu kutuma sms wala kupiga simu, mwenzi wako atahisi una mtu mwingine ‘anayeku-keep bize’.
Hata kama uko bize sana na shughuli zako za kila siku, jitahidi kuwasiliana naye angalau kwa siku mara tatu. Mbaya zaidi ni pale ambapo atakutumia sms na usijibu kwa wakati au akakupigia kisha usipokee, hii itamfanya aumie sana na kufikiria vinginevyo.
Thibitisha unampenda
Kumwambia tu unampenda hakuwezi kumfanya mpenzi wako akaamini kwamba unamaanisha. Waswahili wanasema hayo ni maneno tu, hata kwenye kanga yapo.Unachotakiwa kukifanya ni kumuonesha mpenzi wako jinsi gani unampenda na unamhitaji kila mara kwa vitendo. Usiogope kumwambia kila kitu kilichopo moyoni mwako.
Kumwambia tu unampenda hakuwezi kumfanya mpenzi wako akaamini kwamba unamaanisha. Waswahili wanasema hayo ni maneno tu, hata kwenye kanga yapo.Unachotakiwa kukifanya ni kumuonesha mpenzi wako jinsi gani unampenda na unamhitaji kila mara kwa vitendo. Usiogope kumwambia kila kitu kilichopo moyoni mwako.
Lakini kubwa la kumfanya aamini kwamba unampenda ni kumtendea yale ambayo unajua yatamfanya awe na furaha. Kuwa naye karibu wakati wa furaha na huzuni, mpatilize anachokitaka ambacho kipo ndani ya uwezo wako, muoneshe kwamba kwake umefika, ni kati ya mambo yanayoweza kumfanya atulie na aamini kweli amepata mtu sahihi.
Usizoeane sana na watu wa jinsia nyingine
Kama mpenzi wako ana wivu sana, acha utaniutani na watu wa jinsi nyingine. Ikibidi iwe ni kwa sababu maalum ambazo hata mpenzi wako atazielewa. Kama wewe ni mwanaume, kupigapiga picha na mademu, kuwasiliana nao mara kwa mara na hata kutaniana nao kunaweza kumfanya mwenza wako akajinyonga kama siyo kukuacha wakati bado unampenda.
Kama mpenzi wako ana wivu sana, acha utaniutani na watu wa jinsi nyingine. Ikibidi iwe ni kwa sababu maalum ambazo hata mpenzi wako atazielewa. Kama wewe ni mwanaume, kupigapiga picha na mademu, kuwasiliana nao mara kwa mara na hata kutaniana nao kunaweza kumfanya mwenza wako akajinyonga kama siyo kukuacha wakati bado unampenda.
RIWAYA: Sorry Madam - Sehemu ya 19

ILIPOISHIA...
“Sheila nakuomba unipe nafasi nijielezeee”
“SITAKI NASEMA EDDY TOKA NDANI KWANGU”
Sheila alizungumza huku akinisukuma kitandani na sikuwa na kipingamizi nikashuka huku machozi yakinilenga lenga na kuichukua surualia yangu na kuivaa taratibu.Nikachukua shati langu na kuliweka begani na huku begi langu nikiwa nimelishika mgongoni.
“Sheila ninaondoka huu usiku na umenifukuza mimi kama mwizi…Ila ninakuombea maisha mema.Mimi ngoja nikalale pembeni mwa geti lako ili huu usiku upite nakuomba kwa hilo”
Nilizungumza huku machozi yakinimwagika na nikafungua mlango na kutoka taratibu huku nikiwa siamini kiu kilicho nitokea
ENDELEA....
.....Nikaendelea kupiga hatua za taratibu hadi nikafika getini na kusimama baada ya kuisikia sauti ya Sheila ikiniita
“Eddy unataka kwenda wapi?”
“Kwani wewe unataka kujua hivyo kama nani?”
“Hapana Eddy mpenzi wangu ninakuomba unisamehe ni hasira tuu,nilidhani kuwa wewe ni wale wale walio niongopea”
“Kwahiyo mimi unanifananisha na hao watu wako?’
“Hapana Eddy ila nawaogopa sana wanaume ila kwako hadi ninajishanga ni kwanini imetokea nikakupenda gafla”
Sheila alizungumza huku akinivua begi langu nililolivaa mgongoni kisha akanishika mkono na tukaanza kurudi ndani taratibu
“Kwa nini lakini umehitaji niuondoke usiku huu?”
“Eddy jamani si tumesha yamaliza mpenzi wangu”
Sheila alizungumza huku akinishika kiuno taratibu na kuanza kuifungua zipu ya suruali yangu na kukiingiza kiganja chake kwenye koki yangu na kuanza kuiminya minya huku akitoa mihemo mizito iliyoanza kuusisimua mwili wangu.Nikaipeleka mikono yangu kifuani mwa na Sheila na kuanza kushika shika chuchu zake moja baada ya nyingine nikainyonya na kumfanya Sheila kuzidisha mihemo yake.Nikamnyanyua na kumuweka juu ya kitanda kisha nikaivua suruali yangu na kuitupa pembeni huku nikiimalizia khanga yake aliyoivaa kwa kuitupa pembeni
Vidole vyangu viwili vya kati vikaingia kwenye ikulu ya Sheila na kuanza kuitafuta Gsport kwenye sehemu ilipo jificha huku nikiendelea kunyonya ziwa lake la upande wa kushoto.Sheila akaanza kutoa kilio kingine kilichozidi kunipagawisa kiasi kwamba nikazidi kuviingiza vidole vyangu kwenye ikulu yake.Nikamshika kiuno Sheila na kumgeuza akalala kifudi fudi kisha miguu yake nikaichanua na kwa nguvu nikayabananisha makalio yake makubwa kiasi kisha nikayaachia na kuanza kuyachezesha chezesha kwa viganja vyangu huku nikiyapiga makofi madogo madogo na yakazidi kutingishika
Koki yangu nikaipaka mate kiasi kisha kwa mkao wake wa kulala na huku akiwa ameipanua miguu yake nikaizamisha kwenye ikulu huku mikono yangu nikiwa nimeikita kwa ngumi kwenye godoro zuri la kitandani taratibu nikaanza kuikarabati ikulu ya Sheila huku nikijitahidi kupiga pande zote nne za ikulu hiyo.Nikagundua kuna upande mmoja nikiukarabati Sheila hutoa kelele za hali ya juu nikajua hapo ndipo anapo pata raha zaidi.Nikazidi kupashambulia kiasi kwamba Sheila akaanza kukichezesha kiuno chake huku makalio yeke yakitingishika kama vibration ya simu,Akajibinua kidogo na kukifanya kiuno cheke kunyanyuka juu kidogo na shughuli ikazidi kunoga na kujikuta nikianza kulalamika huku matusi yakinichomoka mdomoni.
Sheila akjichomoa kwenye koki yangu kisha akanilaza chali na kwa haraka akaikalia koki yangu huku akinitazama kwa macho malegevu na shughuli ikaendelea kwa kasi ya ajabu huku akiwa kama amepandisha mashetani,Kiuno chake kikawa na kazi ya kuizungusha koki yangu kiasi kwamba nikajikuta ninazidi kupagawa kwa shunguhi anayonionyesha Sheila.Mikono yangu ikashika kiuno cha Sheila na kuanza kumsaidia kumpeleka juu chini chini juu pale ninapomuona akiwa amechoka na kuishiwa na pumzi.Nikamvuta na kifua cheke akakilaza juu ya kifua changu kipana kiasi na kukiminya kwa kutumia mikono yangu na kusababisha chuchu zake kuleta msisimko mkali mwilini mwangu na shughuli ikaendelea huku ikiwa kazi yangu ni kukichezesha kiuno changu.
Nikaipanua miguu yangu vizuri huku koki yangu ikiwa ndani ya ikulu ya Sheila na nikavuta pumzi ya kutosha na kwa kwasi ya hali ya juu nikaendelea kuishambulia ikulu ya Sheila na kumfanya azidi kuchanganyikiwa ila sikutaka kumuachia kifua chake kwani kinanipa joto la kutosha linalozidi kunipa nguvu na kasi ya kumshambulia Sheila.Kazi ya kiuno cha Sheila ikaanza huku akiendelea kuizungusha koki yangu kama kirungu cha gia kwenye magari aina ya ‘manuel’
“Eddy nakupenda sana”
“Na mimi pia Sheila”
“Mpingoo wako mtamu sana baby”
“Hata wewe ikulu yako tamu sanaa”
“Ohoooo…..iiisssss”
Sheila akazidi kuchanganyikiwa tulipokutanisha viuno vyetu vinavyokatika kwa kasi ya ajabu na kusababisha hali ya chumba kutawaliwa na makelele ya raha.Sheila akajichomoa na kuishika koki yangu kisha akaidumukiza mdomoni karibia yote na kuitoa ikiwa imejaa mate mengi na kuanza kujipiga piga nayo mashavini mwake hadi akaridhika
“Eddy mpingo wako ni mzuri hadi rahaa”
“Kweli”
“Ndio baby….Yaani ninausikilizia hadi masikioni ukiingia kwenye himya yangu”
“Hata wewe Ikulu yako ina joto la kutosha hadi natamani usiitoe”
“Ninavyoitoa ninakuudhi?”
“Hapana”
Sheila akairudisha tena koki yangu mdomoni mwake na safari hii akajitaidi kuiinginza yote kisha akaitoa na kuanza kuisugua kwa viganja vyake vilaini.Nikanyanyuka na kushuka kitandani kisha na yeye akashuka kama vile alijua akajiinamisha huku akishika uzio wa kitanda kwa mikono yake miwili huku taratibu koki yangu ikirudi kwenye ikulu yake na kuendelea na kazi.Kutokana nimesimama kwa miguu yote miwili kasi ya ukarabati ikazidi kuongezeka na kumfanya Sheila kuanza kunitukana matusi mazito yaliyozidi kunipa nguvu ya kuendelea kuishambulia ikulu yake
“Shei……..”
“Ehe…….”
“Kwa nini ulinifukuza…….”
“Ni…..likuwa nat….ania……baby”
“Kweli?”
“Ehheeee…….”
“Unanipenda?”
“Nd…ii…..ooooo….Uwiii mamaaa weeeeee”
Nikazidi kuongeza kasi huku misuli ya mapaja yangu ikiwa imejitokeza ikonekana kweli imehimili vishindo vya mashambulizi ninayo yafanya
“Ulilipwa bei gani katika filamu yako”
“Mii…..lionim….oja na nu…suuuuu”
“Unanidanganya eheee?”
Nikaongeza kasi huku kiganja changu kimoja nikimshika Sheila nywele zake ndefu na kuzivuta kwa nyuma nilipo mimi
“Haaa…..ppppppaaaaanaaaaa Edddy…”
“Sasa sema ulilipwa kiasi gani?”
“Mil…..ioni moja ba….by ya…..kimarekani”
“Utakuwa na mwaname mwengine zaidi yangu?”
“Haaaaaapana E….E….Eddyyyy….”
Sheila alizungumaza kwa sauti ya kukata kata kiasi kwamba nikamuonea huruma na kumuachia nywele zake kisha nikamchomoa kwenye koki yangu na kumbeba huku miguu yake akiipitisha kiunoni mwangu na kuiunganisha kwa pamoja kwa nyuma huku mikono yake akiipitisha kwenye shingo yang.Nikaizamisha koki yangu ndani ya ikulu na mikono yangu nikayashika makalio ya Sheila vizuri na kuendelea kuyawezesha katika kuikalia koki yangu ambayo inahasira kali kama Mbogo aliye jeruhiwa na risasi.Sheila akanza kuninyonya masikio kwa ulimi wake na kujikuta nikizidi kupagawa na kuongeza kasi ya kumkalisha kwenye koki yangu.Nikahisi kuchoka kusimama na taratibu nikakaa kwenye kiti ambacho mara nyingi ninaviona kwenye maofisi makubwa na hutumiwa na mabosi wengi.
Sheila akaanza kazi ya kukatika huku akinitolea jicho kali akionekana anakimbilia kufika kileleni na mimi sikutaka nimchoshe sana na nikazivuta hisia zangu kwa kasi ya ajabu na kwa mbali nikaanza kusikia risasi zikijiandaa kutoka.Gafla Sheila akanyanyuka na kufanya risasi zisimame na akageuka na kunipa mgongo na kuikalia koki yangu huku mguu mmoja akiuweka kwenye paja langu na kuanza kukizungusha kiuno chake huku akiyachezesha makalio yake na kuzidi kunipa raha ambazo mwanaume yoyote rijali ni lazima atatoa miguno endapo atakunata na mtu kama Sheila.
Sheila akazidi kukichezesha kiuno chake na safari hii amejiinua kidogo na kuanza kuikatikia koki yangu maeneo ya kwenye kichwa na kujikuta nikifumba macho yangu na kwa mbali nikianza kuitukana safari ya kwenda shule huku nikiaanza kupanga mipango ya kukaa kwa Sheila japo kwa wiki moja ndio niende shule na uzuri wenyewe mama anaondoka nchini kikazi.
Sheila akashika chini kwa mikono yake na kuanza kukatika kwa kasi ya ajabu na kujikuta miguu yangu nikiinyanyua taratibu nikisikilizia jinsi risasi zinavyo kuja kwa kasi ya ajabu na zote zikatoka kwa mfululizo na kuingia kwenye ikulu ya Sheila na kumfanya apunguze kasi ya kuishambulia koki yangu hadi akatulia tuli huku akiwa ameikalia koki yangu na sote tukihema kama tumetoka kukimbia mbio ndefu
Sheila akajilaza chini kwenye zulia na mimi nikalala taratibu kwenye zulia huku kila mmoja akiwa kimya kiasi kwamba hakuna aliye msemesha mwenzake na sote tukawa na kazi ya kuliangalia feni lililofungwa juu jinsi linavyo zunguka taratibu.
“Sheila leo siendi shule”
“Kwa nini?”
“Kwa raha zote unadhani kuna kusoma kweli shule”
“Mmmm Eddy mpenzi wangu shule ni muhimu japo na wewe umenipa raha nilizo zikosa kwa wanaume wote walio nipitia”
“Kweli”
“Ndio Eddy wangu hapa nilipo kiuno kizima hakina kazi”
“Hata mimi mwenyewe miguu yote nahisi kama sio yakwangu”
“Eddy mama yako ni nani?”
“Mama yangu ni waziri wa afya”
“Ehee kumbe wewe mtoto wa kishua?”
“Sio sana”
“Hata kama ni sana unadhani utasema…..Alafu Eddy unaonekana msiri sana”
“Huwa sipendi kujitangazia na hata shule rafiki wangu wa karibu hajui kama mama yangu ni waziri na wengi wao ninawaambia mama yangu ni mwalimu”
“Ila ni vizuri…Je baba anafanya kazi gani?”
“Yeye ni mkuu wa jeshi”
“Waoo eheee kumbe upo kwenye maraha”
“Raha wapi….Usione watu wanatembelea na Miji Hammer ukasema wana amani majumbani mwao ila ukweli hakuna familia zenye migogoro kama familia za kitajiri”
“Weee kwanini unazungumza hivyo?”
“Ahaaa nimeona sehemu nyingi nyingi kwenye familia za matajiri mfano mzuri ni familia yangu”
“Kwanini familia yako haina amani wakati baba anapesa,mama ni kama hivyo?”
“Mama na baba hawapatani kutokana kuna swala fulani hivi sio vizuri nikakuambia sasa hivi lilitokea na kupelekea hali kama hiyo kutokea kati ya baba na mama ndio maana nilijikuta nikiota mambo mabaya mabaya”
“Mmm pole baby…..Ila tambua ya kuwa wewe ni mwanaume na kama mtoto unatakiwa kuweza kusimama katikati ya baba na mama na uwapatanishe na amani irudi kati yao”
“Sheila ndio maana nimekumambia hizi familia zetu zina matatizo mengi sana kiasi kwamba swala kama hilo kutokea kati yetu ni vigumu kwa mwana familia kuweza kulitatua labda atokee mtu wa njee kabisa ambaye baba na mama wanaweza kumsikiliza”
“Sasa Eddy mimi leo nahitaji nifike Arusha na nikikaa hapa kama unavyo taka sijui kama mipango yangu itakwenda sawa…..Nimepata wazo moja hivii”
“Wazo gani?’
“Unaonaje tukaende wote Arusha na leo ni jumamosi kisha tukafikizia hotelini tukalala na jumapili mimi nikirudi zangu huku wewe uanakwenda zako shule”
“Kweli ilo wazo ni zuri baby unaonaje ukakaa hadi jumatatu asubuhi ndio ukarudi Dar”
“Ni wewe tuu mpenzi wangu ila tutaangalia ratiba itakaa kaa vipi?”
“Sawa.Tunaondoka na gari la saa ngapi?”
“Tuondoke na gari la saa kumi na mojana na nusu ili nikifika Arusha nifanye mizunguko yangu kisha tujiachie zetu Hotelini”
“Powa itatubidi tujiandae sasa hivi kwani hiyo saa hapo inaonyesha ni saa kumi na dakika kimi usiku”
“Mwenzio hapa hata kunyanyuka ninaona uvivu”
“Tupige kingine cha kuichangamsha miili yetu?”
“Mmmm Eddy wewe unataka kuniua……Huu umzunguko ulio pita nilijikaza tuu usinione nimeshindwa na mechi”
“Mmmm kweli ulijikaza mpenzi wangu”
Tukanyanyuka na kuingia bafuni na Sheila akafungua bomba la maji na taratibu tukaanza kuoga huku kila mmoja akimuogesha mwenzake na kwa furaha tuliyo nayo unaweza kusema tumeonana siku nyingi kumbe ni jana tu ndio mapenzi yameanza.Tukamaliza na kurudi ndani na tukaanza kuvaa taratibu.Sheila akafunga kabati lake na aktoa raba nyeupe nzuri ambazo ni za kiume akanipa.
“Asante baby”
“Usijali hiyo raba nilinunua majuzi juzi nilipotoka china kuchukua mzigo”
“Sasa ilikuwaje ukanunua raba za kiume?”
“Yaani imetokea nikazipenda sana na kujikuta nikizinunua na kuziweka tuu kabatini”
Tukamaliza kuvaa Sheila akanipulizia manukato yake kwenye nguo zangu zote zilizopo ndani ya begi langu
“Unapesa ya matumizi ya kutosha mume wangu”
“Yaaap! ila si unajua maisha ya shule siku yoyote inaweza ikaibiwa au kuisha”
“Aaaahaaa basi unikumbushe nikupatie pesa ya matumizi na kama una laini ya Voda nitakuwa ninakuingizia pesa kila wiki kutumia M-pesa”
“Nitashukuu sana mpenzi wangu.Ila nitakuwa ninakuomba pale nitakapokuwa nimepungukiwa”
“Sawa ila sipendi uende ukateseke”
“Usijali mpenzi wangu”
“Huwa nasikia mnakuala ugali wa dona na maharage yenye funza?”
“Hapana ila inategemea na shule”
Tukatoka nje na Sheila akafunga mlango wa kuingilia kwake kabla hatujatoka getini nikamuuliza swali
“Baby unataka kusema wewe huna gari?”
“Gari mbona mimi ninalo ila sijawa dereva mzuri na pia ninaogopa gari nililo nalo ni la gharana sana”
“Mbona silioni?”
“Lipo chini ya ardhi”
“Chini ya ardhi……!! kivipi?”
“Ngoja nikuonyeshe”
Sheila akalazimika kufungua tena mlango wake wa kuingilia ndani kisha akarudi akiwa na rimoti mkononi mwake na yenye batani tano tu
“Sogea nyuma kidogo”
Nikasogea kutoka sehemu niliyo simama kisha akaminya batani moja ya rimoti hiyo na taratibu ardhi ikaanza kufunguka kwenda juu nikabaki nikishangaa.Akaminya batani nyingine na taa zikawaka katika chumba kilichopo ardhini na taratibu tukaingia ndani kwenye chuma hicho
“Aisee kama ulaya vile”
“Ulaya wapi mume wangu au unataka uniambie na ujanja wote huo hujawahi kuona kitu kama hichi?”
“Sijawahi kuona mke wangu zaidi ya kwenye movie.Nani alikutengenezea?”
“Wale jamaa walikuja na mafundi wao ndio waka nitengenezea mfumo huu”
“Sasa siku ukitaka kuhama itakuwaje?”
“Hii nyumba ni yangu”
“Ahaa kumbe na wewe ni muongo?”
“Jamani Eddy?”
“Sio Eddy kumbe na wewe unajua kudanganya?”
“Eddy tuachane na hiyo mada kwani sikutaka ujue kama mimi ninamiliki vitu kama hivi ungeanza kunihisi vibaya mapema”
“Nisinge kuhisi vibaya kutokana ni kila binadamu ana uwezo wake wa kiuchumi”
“Hebu fungua hiyo kamba iliyofungwa kwenye chuma”
Nikaifungua kamba iliyo nielekeza Sheila na kusababisha turubai lililo funika gari lake kufunguka na macho yangu yakakutana na gari aina BMW ambayo tangu niijue Tanzania na kutembea kwangu sikuwahi kuiona MBW ya muundo huu.
“Duuuu hii ngoma bei gani?”
“Jamaa wameniambia ni laki mbili na nusu za kimarekani”
“Kudadadeki ni kama Milioni 400 za Kitanzania”
“Ndio maana yake”
“Funguo yake iko wapi?”
“Unataka twende nalo?”
“Ndio”
“Eddy hatuta kamatwa na polisi?”
“Si imesajiliwa kila kitu?”
“Ndio”
“Basi kalete funguo yake”
“Ipo hapo hapo kwa juu kwenye vidude vya kuzuia jua”
Nikafungua sehemu aliyo nielekeza Sheila na kukuta funguo ikining’inia na haraka haraka nikaichomeka kwenye sehemu yake na kuizungusha funguo yake kama ninavyo washa magari ya kawaida ila cha kushangaza gari halikuwaka.
“Mbona haliwaki sasa?”
“Kwani ni lako hadi liwake?”
“Ehee hebu njoo unielekeze bwana linawashwa washwa vipi?”
“Eddy mpenzi wangu kama kuwasha unashindwa je kuendesha utaweza kweli?”
“Wewe njoo unionyeshe linawashwa washwa vipi”
Sheila akazunguka upande wa pili na kukaa siti ya pembeni kisha akaminya kitufe chekundu kilichopo pembeni yangu kilicho andikwa ‘VOICE’ kisha akanitazama usoni na kuachia tabasamu.
“BMW 007 START”
Nikashtuka gari likiwaka na kila kitu kikaanza kusoma kwenye dashboard yake na kujikuta nikibaki ninashangaa
“KARIBU BI.SHEILA KWENYE GARI LAKO BMW 007 JE UNAHITAJI KUELEKEA WAPI TUKUONYESHE RAMANI”
Sauti ya msichana ilisikika kwenye spika za gari hilo na kubaki nikikaa kimya
“Nahitaji kuelekea mkoani Arusha”
“SUBIRI KWA DAKIKA”
Tukasubiri kwa sekunde kadhaa huku nikibaki kimya na kila nilicho kiona machoni mwangu ninakiona kama ni kipya na ramani ikajitokeza kwenye kioo cha ya gari hilo dashboard
“RAMANI YAKO IMEKAMILIKA JE UNAHITAJI HUDUMA NYINGINE”
“Ndio”
“CHAGUA KATI YA HIZI ZIFWATAZO 1.TAZAMA USALAMA WA GARI LAKO, 2.TAZAMA UJAZO WA UPEPO ULIPO KWENYE MATAIRI YAKO, 3.BADILISHA DEREVA 4…….”
“Tatu”
“DEREVA MPYA ATAJE JINA LAKE”
Sheila akanikonyeza na kunifanya nikohoe kidogo huku nikiwa ninafuraha kwani sikuwahi kuona gari kama hilo zaidi kuona gari linalo endana na hilo kwenye filamu za JAMES BOND.
“EDDY GODWIN”
“KARIBU BWANA BWANA EDDY GODWIN KWENYE BMW 007 WEKA KIDOLE GUMBA CHA MKONO WA KUSHOTO KATIKATI YA KIENDESHEO CHA GARI”
Nikaweka dole gumba katikati ya mskani ambapo kuna kioo kidogo na mstari mwekundu ukaanza kupita kwenye kidole changu kuanzia chini hadi juu
“UMEFANIKIWA KUWA DEREVA WA BMW 007 NAWATAKIA SAFARI NJEMA NA UENDESHAJI MWEMA”
Sauti ikakata na gari ikaaendelea kunguruma taratibu ikisubiria kuanza kwa safari.Kutokana nina uzoefu kidogo kwenye uendeshaji wa magari haikuwa ngumu.Nikakanyaga taratibu mafuta na gari likaanza kusogea kwenda mbele,nikalitoa kwenye chumba hicho na kulisimamisha pembeni na Sheila akashuka na kuminya rimoti yake na kila kitu kikajifunga na akairudisha ndani na kufunga milango yake kisha akafungua geti la mbele na nikalitoa gari nje na kumsubiria Sheila akimalizia kufunga geti lake na kuingia ndani ya gari
Mwanga wa jua bado haukuwa umeanza kuchomoza ikanilazimu kuwasha taa za gari ambazo zina mwanga mkubwa kupita maelezo.Nikaingia kwenye batabara kuu ya mikoani huku ramani ikinionyesha wapi nielekee.
“Hivi hii gari ina spidi ngapi?”
“380 na ina Turbo”
Ilinibidi nimuulize Sheila kutokana hakuna mishale inayoonyesha mwendo kasi zaidi ya kiio tu kinacho onyesha mfumo mzima wa spidi zinavyo ongezeka kama saa ya kawaida
“Mmmm tumuombe Mungu”
“Kweli mume wangu safari ni ndefu”
Nikaendelea kukanyaga mafuta huku moyoni mwangu nikiwa ninafuraha kuendesha gari kama hili ambalo nahisi ni watu wachache sana walilo nalo Tanzania au hakuna kabisa.Safari ikazidi kwenda mbele huku mara kwa mara nikijipima uwezo wa uendeshaji wa gari kwa mwendo wa kasi kiasi kwamba Sheila akaanza kuniomba nipungunze mwendo.
“Tulia mimi ndio dereva hatuwezi kupata ajali apa najitahidi niifike Segera mapema”
“Eddy lakini muda si upo?”
“Ndio ila najitahidi pia kuepukana na trafki”
“Haya dereva”
Safari ikazidi kusonga mbele huku magari madogo na mabasi makubwa nikiyapita japo yapo kwa mwendo wa kasi ila niliyapoteza sana.Hadi ninafika Korogwe tayari ni saa moja na dakika zake na tukaingia kwenye Hotel ya High Way kupata chakula kwani kwa shuguli tuliyo ifanya muda mchache uliopita ni pevu kupita maelezo.Tukaagiza kifungua kinywa na kuanza kula taratibu huku nikiendelea endelea kumtazama Sheila machoni.
“Mbona unanitazama hivyo?”
“Ninakuangalia jinsi ulivyo mzuri mpenzi wangu”
“Mmmm muongo wewe”
“Kweli baby”
“Asante kama ni kweli”
“Shei umeliona hilo basi linalo ingia?”
“Ndio”
“Unakumbuka tulilipita wapi?”
“Si tulilipita Kabuku”
“Sasa hivi ndio linaingia hapa na hili ndio basi la kwanza kuondoka Dar kuelekea Arusha”
“Na lilikuwa lipo kasi”
“Ehee ila ndio hivyo tumelipita”
“Ila wewe uendeshaji wako ni wafujo”
Tukamaliza kula na kulipa tulicho kula kabla hatukatoka jamaa mmoja akanifwata na kunipa mkono huku akicheka
“Kaka hongera sana”
“Kwa nini?”
“Wewe jamaa si ndio ulikuwa unaendesha ile gari pale?”
“Ndio”
“Wewe ni dereva.Yaani mimi nilijitahidi kukanyaga mafuta ili nikupite nakukuta hapa”
“Ahaa ile ngoma pale mziki wake tofauti na hizi gari nyingine”
“Mimi ni dereva wa hilo basi hapo”
“Ahaa kumbe wewe ndio tuliye kupita ukawa unatupigia honi?”
“Ndio kaka….Unaelekea wapi?”
“Arusha”
“Kaka naomba uniachie namba zako tunaweza tukawasiliana kama hutajali”
“Powa”
Nikampa dereva namba yangu ya simu kisha na yeye akanipa namba yake
“Ni save nani?”
“Save RAMA”
“Powa utanisave kwa jina la Eddy”
Nikamkuta Sheila ndani ya gari na safari ikaanza na sehemu isiyo na trafki nikaendesha kwa kasi na tukafanikiwa kufika Arusha mida ya saa sita mchana bila ya kusimamishwa njiani na trafiki kwani hapa nilipo sina leseni.Tukachukua chumba kwenye hoteli moja ya kifahari na kumuacha Sheila akienda kwenye mizunguko bila ya kutumia gari yake na mimi nikabaki nikiwa nimelala kwa uchovu nilio upata wa kuendesha gari kwa safari ndefu.Nikaamka saa moja usiku baada ya kusikia simu ikiita na kukuta ni Sheila ndio anaye piga.
“Mmm vipi?”
“Safi baby mimi nimesharudi nipo hapa chini hotelini shuka huko gorofani basi tuje kula mpenzi wangu”
“Umeagiza chakula gani?’
“Nakusubiria tuagize pamoja”
“Powa ngoja nivae”
“Ulikuwa bado umelala nini?”
“Ndio”
“Fanya basi uje mumwe wangu ninakupenda”
“Ninakupenda pia”
Nikakata simu na kunyanyuka kitandani huku mwili ukiwa umechoka kidogo,Nikaingia bafuni na kunawa uso ili kuutoa mikunjano ya usingizi kisha nikavaa shati langu vizuri na kufungua mlango.Moyo ukanipasuka baada ya macho yangu kugongana na macho ya Salome akiwa ameshikwa kiuno na mkuu wa shule wakitoka ndani ya chumba tunacho tazamana huku nao wakionekana kukosa pozi baada ya kuniona.......
SIMULIZI MPYA YA “Kisasi Cha Usaliti” , SOMA HAPA UPATE RAHA.

Muda: usiku Ikiwa ni kipindi cha mvua zinaendelea kunyesha. Katika moja ya mitaa tulivu kuna nyumba moja kunaonekana ndani kuna ugomvi kati ya mwanamke na mwanaume lakini mwanamke anaonekana akiwa kaelemewa. Matukio yote haya yanaonekana kupitia dirisha la vioo ambalo panzia yake imekaa upande na kufanya ndani kuonekane. Bado ugomvi unaendelea kati yao, mara mwanamke anachoropoka mikononi mwa mwanaume na kukimbia, anafungua mlango na kutoka nje mvuani anakimbia huku akilia . Mwanaume alitoka na kumkimbilia huku akimwita lakini alimkosa akarudi ndani huku akigeuka kumtazama.
(closing scene) Scene 1 Mahali: (jikoni) nyumbani Wahusika: nadya na mzimu wa shadya
Muda: mchana Sehemu ya sebule ya nyumba hii inaonekana kuwa kimya kiasi, kunaonekana kama kuna mtu akiangaza kila mahali haonekani ni nani , akawa anaelekea jikoni ambapo nadya anaonekana akipika. Taratibu yule mtu akaanza kumnyatia nadya kisha akampuliza nywele kwa nguvu, alipogeuka nadya hakumuona mtu akaanza kushangaa, ndipo akasikia tv ikifoka ghafla, taratibu akatoka jikoni na kuelekea sebuleni kutazama ni nani lakini hakumuona mtu yeyote, akazima tv na kurudi jikoni lakini baada ya kuzima kuna mtu anaonekana kivuli chake kwenye kioo cha tv lakini nadya hakumuona kuna nani, akaenda kuendelea na kazi zake.
Scene 2 Mahali: bafuni, chumbani Wahusika: nadya, mzimu wa shadya na morey Muda: jioni Nadya akiwa anaoga bafuni ghafla wakati anapeleka mkono mgongoni kuna mkono wa ajabu unamgusa mgongoni, anashtuka mno na kugeuka lakini hakuna anachokiona akawa anaoga kwa wasi wasi tele.baada ya kumaliza kuoga akachukua taulo na kuvaa, lakini ile taulo ilikuwa imelowa damu ila yeye hakuiona, akatoka na kuingia chumbani akasogea katika dressing table na kuanza kuupara, mara anaingia morey akiwa amevaa vizuri. Morey: vipi bado tu, mbona nguo yako imelowa damu? Nadya: damu ipo wapi? (huku akijitazama, morey anamuonesha katika ile taulo aliyoivaa, anaitoa na kuvaa khanga) Nadya: mbona mimi sijaumia hii damu imetoka wapi sasa? Morey: una uhakika na hilo lakini? (huku wakijaribu kuangalia angalia kama kuna jeraha sehemu yoyote lakini hawaoni kitu) Morey: mmh! Basi achana na hayo jiandae haraka twende. (nadya alianza kuwa na uwoga na hofu)
Scene 3 Wahusika: nadya na morey Mahali: ndani ya gari Muda: usiku Anaonekana akiwa mbali kimawazo nadya akiwa amegeukia nje akiwaza, morey hana habari anaendesha gari tu, nadya akatupa jicho katika kioo cha (middle mirror) kati ndani kuangalia nyuma akaona sura ya mtu nyuma akashituka na kupiga kelele ghafla, morey akapaki gari pembeni haraka sana. Morey: vipi kuna nini? Nadya: nimeona mtu kama, kama…….. Morey: kama nini, nadya una nini? (nadya anafungua mlango na kushuka huku akihema kwa wasi wasi na uwoga) Morey: tulia kwanza hayo ni mawazo tu, hebu twende kwanza kwa wazazi kisha tukirudi tutaongea vizuri. Nadya: hapana morey turudi nyumbani tu, kwani kuna jambo nataka nikwambie. (morey alimtazama nadya kwa makini kisha akashusha pumzi kali akamfungulia nadya mlango) Morey: ok, turudi nyumbani. (wanaingia kwenye gari na kugeuza kurudi nyumbani)
Scene 4 Mahali: nyumbani (sebuleni) Wahusika: nadya na morey Muda: usiku (anaonekana morey amesimama huku akiwaza jambo, nadya akiwa amekaa chini amejiinamia akiwaza wote wapo kimya hakuna anayeongea kitu) Morey: lakini ni jambo ambalo haliwezekani tumeshamzika mtu akifa amekufa. Nadya: kama huniamini sawa lakini imi nahisi na mambo yote hayo ninayokutana nayo ni yeye ndo anaye fanya miujiza hiyo. Morey: sikia nadya (huku anamsogelea na kumliwaza kwa maneno mbali mbali) Morey: hamna kitu kama hicho yeye ameshakufa na hawezi kurudi tena na zaidi hautakiwi kuamini juu ya mambo hayo…… Nadya: mi naogopa morey, natamani niende mbali Morey: hapana nadya, mapenzi yangu yote umeshayateka wewe nadya. Nadya: je watu wakijua itakuwaje? Morey: hamna atakaejua zaidi ya sisi watatu. Nadya: unamuamini kelvin? Morey: sio sana, lakini hamna atachojua juu yako kwani tumemzunguka labda umwambie wewe, mpenzi wake. (nadya akamtazama morey kwa hasira na majonzi kisha akainuka na kuondoka zake ndani, akamuacha morey pale sebuleni peke yake)
Scene 5 Wahusika: kelvin na mzimu wa shadya Mahali: nyumbani kwa kelvin Muda: usiku Akiwa amepumzika kwenye sofa hamna ajualo anatazama tv ghafla tv ikazimika, kila akijaribu kubonyeza hamna kitu akasogea karibu na tv kila akihangaika haiwaki, ghafla nyuma yake akahisi kama kuna mtu amepita alipogeuka hakumuona mtu alipata wasi wasi kidogo lakini alipuuza na kuendelea kukorokochoa hadi ikawaka akarudi kwenye sofa na kukaa, mara akaenda kwenye friji na kufungua akachukua kinywaji. Alipofunga ule mlango kuna kama mzimu alionekana kisha akapotea lakini kelvin hajui, akarudi katika sofa na kukaa akiendelea kutazama tv. Baada ya muda mfupi alikuwa ameshapitiwa na usingizi pale katika sofa akalala ndipo aliposikia sauti ya kicheko ambayo ilimshitua kelvin na kumpa hofu akainuka kwa woga akazima tv na kuingia chumbani huku akiogopa ogopa.
Scene 6 Mahali: ufukweni Wahusika: kelvin na wananchi Muda: asubuhi Wanaonekana wananchi wakiwa wanafanya mazoezi ya asubuhi kando na yanapopiga mawimbi kinaonekana kitanda kuna mtu kalala usingizi amejifunika habari hana . Baada ya kupigwa na mawimbi akaamka kwa kushtuka kumbe ni kelvin anashangaa kujikuta amelala ufukweni mwa bahari.watu wanaofanya mazoezi wanamshangaa Sound track kelvin: “nimefikaje hapa mimi si nililala nyumbani, hapa nimefikaje fikaje sasa …….!” Amebaki ameduwaa hajui lakufanya.
Scene 7 Wahusika: morey Mahali: juu ya ghorofa Muda: asubuhi (kukiwa kunapambazuka juu ya jengo moja refu (ghorofa) juu kabisa anaonekana morey akiwa amevaa nguo za kulalia, na amelala hana hata habari. Baada ya muda mfupi anaamka na kuanza kujishangaa kulala juu ya ghorofa, anakosa jibu anabaki anashangaa tu.
Scene 8 Wahusika: morey na nadya Mahali: sebuleni Muda: asubuhi Linaonekana gari ya kulipia (tax) imekuja na kusimama akashuka morey na kuingia ndani kisha akatoka na kumpa ela dereva , kisha yeye akarudi ndani na kukaa sebuleni akiwa anajiuliza maswali, mara anakuja nadya akashangaa. Nadya: morey ulikuwa wapi tangu usiku nakutafuta, umetoka hukuniambia kama unatoka , ulienda wapi, morey vipi? Morey: nimejikuta nimelala juu ya ghorofa Nadya: mbona sikuelewi? Morey alimtazama nadya usoni, na nadya akabaki anashangaa tu.
scene 9 Wahusika: morey, nadya na kelvin Mahali: sebuleni Muda: asubuhi Morey na nadya wanaonekana wakiwa kimya wamesimama kwa muda fulani mara kelvin anaingia wote wanamshangaa. Kelvin: habari zenu? Morey: safi, karibu. Kelvin: nina tatizo (anawatazama usoni nadya na morey) Morey na nadya wanatazamana pia. Nadya: tatizo gani? Kelvin: ananisumbua (wanatazamana tena usoni wote wakishanga, kelvin nae akawatazama kwa makini kina nadya.) Kelvin: shemeji shadya najua nimemkosea mdogo wako naomba uniombee kwa nadya anisamehe. (nadya akamtazama morey tena kwa mara nyingine, kisha morey akamtuliza kelvin) Morey: tulia kwanza tukae chini tuongee (wakakaa chini). Tatizo sio la peke yako. (kelvin akashangaa kidogo, akamtazama nadya ambae alikuwa amesimama) Nadya: lilianza kwangu (alizidi kushangaa na ukimya ukatanda)
Scene 10 Wahusika: morey na nadya Mahali: dukani Muda: mchana (wakiwa wanachagua nguo nadya alichukua nguo anazozitaka na kuweka kwenye mfuko, wakapanda gari na kurudi nyumbani)
Scene 11 Wahusika: morey na nadya Mahali: nyumbani Muda: mchana (wakiwa wamefika nyumbani, nadya akiwa na shauku ya kuona nguo alizokuja nazo akakaa chini na kufungua mfuko wake ili atoe zile nguo, lakini cha ajabu alitoa matambaa machafu ambayo yamechanika chanika! Alishangaa huku akitamani kucheka akiwa haelewi, morey akabaki ameduwaa hakuna aliyepata jibu.
Scene 12 Wahusika: morey na nadya Mahali: nyumbani Muda; mchana (wakiwa kimya kwa muda fulani) Morey: mimi nafikiri tunatakiwa kwenda kwa mtaalam ili haya mambo yaweze kutulia au unasemaje? (nadya hakujibu kitu alibaki kimya tu)
Scene 13 Wausika: morey, nadya na mtaalam Mahali: nyumbani Muda: jioni (wanashuka toka katika gari na kumkaribisha mtaalam ambae alibeba briefcase yake na usinga mkononi, amevaa suti nyeupe aliposhuka tu mtaalam mwili ukamsisimka, morey na nadya wote wakamtazama) Mtaalam: yupo humu humu ndani hayupo mbali. ( wakawa wanasogea mlangoni ghafla mlango ukafunguka wenyewe ndani wakatoka kuku na kukimbia, wakawa wanashangaa wakiwa wanasogelea mlango waingie ndani, mara mtaalam anaanguka na kufurukuta kama mtu mwenye kifafa, kisha akafa hapo hapo. Morey na nadya walizidi kupagawa hawakujua la kufanya.
Scene 14 Wahusika: morey na nadya Mahali: nyumbani (wanaonekana wakiingiza ile maiti chumbani, kisha wakarudi sebuleni wakiwa hawajui la kufanya) Nadya: sasa hii maiti tuipeleke wapi? Au tukaitupe? Na je polisi wakijua itakuwaje au tukaifukie? Morey: sasa mambo yote umemaliza mwenyewe, unaongea mwenyewe unajijibu mwenyewe hebu tulia kwanza. (ghafla wanasikia mlango wa chumba kimoja unafungwa kwa nguvu,wakashituka sana walielekea katika kile chumba na kufungua mlango kuangalia ndani hakuna kitu na ile maiti ilikuwa imepotea, wakabaki midomo wazi.
Scene 15 Wahusika: kelvin Mahali: nyumbani Muda: jioni (akiwa anasoma gazeti katika kuangalia habari za kwenye lile gazeti, aliiyona habari ya mtaalam wa mambo ya jadi akachukua namba za simu na kuanza kupiga, haikujulikana anaongea nae nini.
Scene 16 Wahusika: kelvin na morey Mahali: nyumbani Muda: usiku (wakiwa wapo katika mazungumzo yao) Kelvin: yeye ni mwanasaikolojia na ni profesa wa masuala ya kiasili amesomea katika chuo kikuu cha “scotland magistacy”.hivyo ni mtu mwenye uelewa mkubwa katika masuala ya viumbe visivyoonekana, nyota pamoja na kutatua matatizo hayo. Morey: unataka unambie ni mganga? Kelvin: ndiyo, ila sio wa matunguli na usinga kama wa hapa kwetu, yeye ni sawa na naturalist. Morey: mmh! Sawa tumtafute Kelvin: nimeshaongea nae inabidi tupange siku twende tukamuone tu. Morey: sawa, hamna tabu.
Scene 17 Wahusika: kelvin na watu kadhaa Mahali: bara barani Muda: usiku Tukio: ndoto (akiwa amevaa nguo za kulalia kelvin anaonekana kati kati ya bara bara akitembea peku peku huku mbele yake kuna watu wanne wamebeba sanduku la maiti huku wakiwa wamevaa nguo nyeusi tupu wengine wakisindikiza, walienda mbele kidogo kisha wakalishusha lile sanduku na kurudi kule walipotokea.walipishana na kelvin nae akawa anawashangaa wale watu kwanini wameshusha pale sanduku, hakuna aliyemuongelesha wala kumgusa walimpita.kelvin taratibu akasogea lilipo lile sanduku akiwa amejawa na hofu taratibu akaanza kulifungua, akakuta maiti iliyopo mle ina sura yake aliogopa na kupiga kelele.
Scene 18 Wahusika: kelvin Mahali:kitandani Muda: usiku (alishtuka kwa nguvu toka usingizini akiwa na mavazi yale ya kulalia akanza kuhema kwa hofu na uwoga)
Scene 19 Wahusika: morey, kelvin na profesa Mahali: ofisini Muda: asubuhi (wakiwa katika ofisi ya profesa huku wakimsikiliza kwa makini, profesa akiwa ameshika kipande cha kitambaa kina rangi tatu nyeupe,nyeusi na nyekundu akiwa anakichezesha chezesha) Profesa: kama mnajua bahati mbaya kwanini hamkutoa taarifa polisi? Morey: tulihofia kwani ni kesi kubwa sana ingetukabili Profesa: kwahiyo mmeogopa kesi mnakubali matatizo makubwa ok! Kama mlichagua hayo nyinyi wenyewe. Kelvin: hatuna maana hiyo, ndo maana tumekuja kwako utusaidie profesa. Profesa: mimi sina uwezo wa kuwasaidia mpaka upatikane ukweli Morey: ukweli upi huo tena zaidi ya huo?” (profesa aliwatazama kisha akainuka na kuwaambia wamfuate, ndipo wakatoka na kuingia kwenye chumba kimoja ambacho hakikuwa na kitu chochote zaidi ya kiti tu, ambacho kinaonekana cha muda mrefu na kipo kati kati ya chumba na pembeni kuna taa ya maajabu inayotumia mafuta.aliichukua ile taa na kuwapa kina kelvin pamoja na kibiriti.) Profesa:shikeni, tunataka kujua ukweli wa mambo, nitakaa kwenye kiti na kusafiri , nikishasafiri mimi atakuja mgeni, nitakapokuwa napishana nae taa itazimika na mwanaga utapotea, utahitajika mwanga wa asili ambao mtawasha hii taa, nimeeleweka vizuri. (kelvin na morey wakatazamana) Profesa akakaa kwenye kiti kisha wakamfunga mikanda, ndipo profesa akaanza kusoma kwa sauti ya chini baada ya muda mfupi akanza kubadilika, profesa alitumia nguvu nyingi na kutikisika kama anatetemeka , ghafla giza likaingia kuna sauti ya kukoroma ikawa inasikika. Kelvin: washa! Washa! (wakawasha taa na kumulika kwenye kiti ndipo walishangaa kuuona mzimu wa shadya umekaa pale ukikoroma, sauti nzito ya profesa) Mzimu: sitawasamehe hata kidogo lazima nitalipiza kisasi kwa kila mmoja wenu, hamkuona thamani ya uhai wangu, mkathamini yaliyo kwenye mioyo yenu………………………., lazima nilipe kisasi.
Kelvin: lakini ilkuwa bahati mbaya tu…. Mzimu: hakunaaaaa, tena wewe ndo msaliti mkubwa, unanisaliti kwenye kitanda changu…., sikusamehi, sikusamehiiiiiii. Hiiiiiiii, ghaaaaa, ngriiiiiiiiiii!!!!!!!!! (alianza kuunguruma kama simba ghafla taa ikazimika kukawa kama mwanzo, lakini cha ajabu profesa hakuwepo kwenye kile kiti, kilikuwa kitupu...
Subscribe to:
Comments (Atom)
online
Popular Posts
-
Mtunzi : E ddazaria G. M sulwa Ni siku ya jumamosi kama kawaida wanafunzi wote wa shule tunayosoma tunakwenda viwanjani kucheza ...
-
*****SORY MADAM*****(3) ILIPOISHIA Nilizungumza kwa kujishtukia huku karoti yake ya bandia nikiificha kwa nyuma ili asiione.Madam ...
-
*****SORY MADAM*****(2) Mwalimu wa zamu akanitazama kwa hasira akarusha kofi nikalikwepa na kurudi nyuma huku nikijiweka tayar...
-
Ilipoishia Sehemu ya 8 ( Bofya hapa Kama Hukuisoma ) ..Mwalimu John alipelekwa makuburini kwaajili ya mazishi ingawa yeye alijiona y...
-
Ilikuwa ni majira ya saa moja jioni ambapo mkuu wa while ya Mabango alikuwa ofisini kwake akiwa amechanganyikiwa sana kwani hali ya shule ...
-
Ilipoishia sehemu ya kwanza ( kama hukuisoma bofya hapa) .....Wakati wanafunzi wengine wakiwalilia wenzao Doreen alikuwa amejitenga peke y...
-
"Aaahh!" Alikua akifikia kilele cha tendo la ndoa, akajisukuma zaidi kwa mke. Akaganda juu ya mkewe kwa dakika kadhaa akima...
-
Ilipoishia sehemu ya Sita ( kama hukuisoma bofya hapa). .....DOREEN alimkubalia Eddy kuwa mpenzi wake lakini alimweleza kuwa kuna ...
-
Ilipoishia sehemu ya pili ( kama hukuisoma bofya hap a) ...Baada ya kukamilisha yote hayo Madam Mbeshi akasogeza kiti chake karibu...
-
Sorry Madam - Sehemu ya 4 “Unashangaa nini kwani ni ajabu?” “Hilo kwangu ni jipya” “Kwani Eddy unataka kuniambia kuwa wewe huna ...
