
imu ya mke wake ilikuwa haipatikani na alipojaribu kupiga kwa mchungaji wa kanisa lao kuulizia kulikoni simu iliita bila kupokelewa halikuwa jambo la kawaida hata kidogo simu ya mkewe kutopatikana hewani bila taarifa.
"Mh! Kuna nini tena?" Timoth alijiuliza.
Tim hakuchoka kujaribu lakini suala likawa lile kwa pande zote mbili.wasiwasi ukachukua nafasi yake, wivu nao ukairukia nafsi yake. Akaaminiu kuna tatizo
"Hivi Oscar alinipa namba yake kweli...lahaula aliwahi kunipigia siku zile alipokuja rafiki yangu nyumbani,sijui ilikuwa inaishia ngapi" alijiuliza Tim huku akijaribu kuvuta kumbukumbu zake kwa jitihada kabisa.
Wakati huo zilikuwa zimepita wiki tatu tangu Tim awe amenunua n'gombe kama mkewe alivyotaka.
"Ewalaa! Imeita sijui ni yenyewe!" alijiuliza tena
"Halow shkamoo bosi..."
"Marahaba..ni Timoth naongea wewe Oscar hapo nadhani."
"Ndi..." hata kabla hajamalizia mawasiliano yalikatika simu ilikuwa imeishiwa charge.
"Hebu ngoja niende nyumbani sasa hivi huenda kuna lolote baya linatokea" aliamua Tim.
Ilikuwa bahati yake hapakuwa na foleni sana siku hiyo hivyo alitegemea kufika nyumbani salama.
"Konda niache hapa hapa nishushe tafadhali" Timoth ghafla alimwambia kondakta huku shingo yake ikiwa imekakamaa kutizama kitu flani nje.
"Vipi bosi mbona ghafla hivyo tena.."
"Hapana we nishushe...dereva tafadhali niache hapa hapa,nilegezee tafadhali nishuke" alibembeleza Timoth,jasho jembamba lilikuwa linamtoka hakuamini picha iliyokuwa mbele yake alidhani ni akili imemruka anaona vitu wasivyoviona wengine hivyo kushuka kwake ndio suluhisho pekee ili awe shuhuda wa ukweli japo alikuwa na hofu moyoni.
Dereva hakuwa na hiana akazikanyaga breki zake gari likasimama Tim baada ya kulipa nauli akashuka, kwa mwendo wa kunyata na tahadhari kubwa akaanza kusogea.
"Zamzam guest house" macho yake yaliweza kusoma vyema jina la nyumba hiyo ya kulala wageni,kwa akili ya mwanadamu yeyote mwenye uwezo mkubwa wa kufikiri hakika watu hawa wawili wenye furaha walionekana kutokea katika jengo lile,na hata kwa Timoth pia aliamini hivyo kuwa mke wake pamoja na mwanaume mrefu mwenye kipara akiwa amevaa suti nao pia walitokea hapo.
"Mh! Kuna nini tena?" Timoth alijiuliza.
Tim hakuchoka kujaribu lakini suala likawa lile kwa pande zote mbili.wasiwasi ukachukua nafasi yake, wivu nao ukairukia nafsi yake. Akaaminiu kuna tatizo
"Hivi Oscar alinipa namba yake kweli...lahaula aliwahi kunipigia siku zile alipokuja rafiki yangu nyumbani,sijui ilikuwa inaishia ngapi" alijiuliza Tim huku akijaribu kuvuta kumbukumbu zake kwa jitihada kabisa.
Wakati huo zilikuwa zimepita wiki tatu tangu Tim awe amenunua n'gombe kama mkewe alivyotaka.
"Ewalaa! Imeita sijui ni yenyewe!" alijiuliza tena
"Halow shkamoo bosi..."
"Marahaba..ni Timoth naongea wewe Oscar hapo nadhani."
"Ndi..." hata kabla hajamalizia mawasiliano yalikatika simu ilikuwa imeishiwa charge.
"Hebu ngoja niende nyumbani sasa hivi huenda kuna lolote baya linatokea" aliamua Tim.
Ilikuwa bahati yake hapakuwa na foleni sana siku hiyo hivyo alitegemea kufika nyumbani salama.
"Konda niache hapa hapa nishushe tafadhali" Timoth ghafla alimwambia kondakta huku shingo yake ikiwa imekakamaa kutizama kitu flani nje.
"Vipi bosi mbona ghafla hivyo tena.."
"Hapana we nishushe...dereva tafadhali niache hapa hapa,nilegezee tafadhali nishuke" alibembeleza Timoth,jasho jembamba lilikuwa linamtoka hakuamini picha iliyokuwa mbele yake alidhani ni akili imemruka anaona vitu wasivyoviona wengine hivyo kushuka kwake ndio suluhisho pekee ili awe shuhuda wa ukweli japo alikuwa na hofu moyoni.
Dereva hakuwa na hiana akazikanyaga breki zake gari likasimama Tim baada ya kulipa nauli akashuka, kwa mwendo wa kunyata na tahadhari kubwa akaanza kusogea.
"Zamzam guest house" macho yake yaliweza kusoma vyema jina la nyumba hiyo ya kulala wageni,kwa akili ya mwanadamu yeyote mwenye uwezo mkubwa wa kufikiri hakika watu hawa wawili wenye furaha walionekana kutokea katika jengo lile,na hata kwa Timoth pia aliamini hivyo kuwa mke wake pamoja na mwanaume mrefu mwenye kipara akiwa amevaa suti nao pia walitokea hapo.
"Noela...noela ni Noela yule" aliongea peke yake Timoth huku akisogeza hatua zake taratibu kusogea enen hasa la tukio.Mkewe alikuwa na furaha sana na mara kwa mara waligonganisha mikono yao na yule wanaume.
"Atakuwa nani yule maskini wa Mungu anafanya nini hiki Noela" aliendelea kujiuliza Timoth,na punde alivyokaribia eneo la tukio tayari wawili hawa walikuwa ndani ya gari wakitokomea zao. Tim alikuwa kama chizi vile alìhaha sana eneo lile huku jasho jingi likimtoka.
* * * * *
"Karibu mume wangu" Noela alimpokea Timoth aliporejea nyumbani.
"Karibu mume wangu" Noela alimpokea Timoth aliporejea nyumbani.
"Mbona umetokwa jasho hivi? Au ndio foleni tena, mh! Miji yetu hii jamani mateso" aliendelea kuongea Noela huku Tim akiwa kimya akimwangalia tu.
Hasira aliyokuwa nayo alitambua yeye mwenyewe,hakutaka kuionyesha hadharani kwani bado hakuwa na uhakika mkubwa sana kama ni kweli alikuwa ni mkewe na kama ni yeye je ni kweli alikuwa anatoka pale guest,maswali hayo ndiyo yalimkosesha ujasiri wa kumuhoji mkewe.
"Ni kweli gari lilikuwa limejaa sana" alijibu Timoth.
"Mh! Pole mume wangu....halafu kabla sijasahau mchungaji amekusalimia" alisema Noela.
"Nini! Ina maana...."
"Nini? Ina maana..." alishtuka Timoth.
"Mbona umeshtuka my love nilikuwa naye leo kwenye maombi" alijibu kwa furaha Noela huku akimvua mumewe koti la suti alilokuwa amevaa bado.
"Aah! Ok! Asante" alijibu Timoth lakini usoni hakuwa na furaha hata kidogo,na wasiwasi ulimtawala sana,kidogo aulize lakini akajizuia tena.
"siku yetu ilikuwa nzuri sana jamani!! Yaani...."
"niwekee maji bafuni nioge" Timoth alimkatisha Noela alipotaka kuendelea kuongea,fundo la hasira lilikuwa limemkaba kooni.
"honey una tatizo gani leo?"
"nimejibishana na kondakta wa gari vibaya na mimi ndio nilikuwa na makosa,sijisikii vizuri nahtaji nipumzike kwanza" alidanganya Timoth
"lakini tumekuombea na mchungaji,nina upako kweli" alijibu Noela kwa furaha nyingne kubwa.
"aah!" alijikuta amesonya Timoth,jambo ambalo kamwe alikuwa hajawah kulifanya mbele ya mkewe.
"mume wangu pepo mchafu anakuingia hebu maliza kuoga twende kwa mchungaji ukaombewe" alijibu Noela kwa sauti ya upole kabisa.Timoth alianza kutetemeka,mkono wake ukaanza kuingia katika majaribu ya kumpiga mkewe lakini kuepusha shari akaingia chumbani na kumwacha Noela akiandaa maji ya kuoga bafuni.
***
"Aah! Ok! Asante" alijibu Timoth lakini usoni hakuwa na furaha hata kidogo,na wasiwasi ulimtawala sana,kidogo aulize lakini akajizuia tena.
"siku yetu ilikuwa nzuri sana jamani!! Yaani...."
"niwekee maji bafuni nioge" Timoth alimkatisha Noela alipotaka kuendelea kuongea,fundo la hasira lilikuwa limemkaba kooni.
"honey una tatizo gani leo?"
"nimejibishana na kondakta wa gari vibaya na mimi ndio nilikuwa na makosa,sijisikii vizuri nahtaji nipumzike kwanza" alidanganya Timoth
"lakini tumekuombea na mchungaji,nina upako kweli" alijibu Noela kwa furaha nyingne kubwa.
"aah!" alijikuta amesonya Timoth,jambo ambalo kamwe alikuwa hajawah kulifanya mbele ya mkewe.
"mume wangu pepo mchafu anakuingia hebu maliza kuoga twende kwa mchungaji ukaombewe" alijibu Noela kwa sauti ya upole kabisa.Timoth alianza kutetemeka,mkono wake ukaanza kuingia katika majaribu ya kumpiga mkewe lakini kuepusha shari akaingia chumbani na kumwacha Noela akiandaa maji ya kuoga bafuni.
***
"Oscar!!"
"naam mama!" aliitikia Oscar huku akiacha shughuli zake na kusogea alipokuwa Noela.
"Hivi unaitwa nani vile?" aliuliza Noela."Aah! Unaitwa Oscar kweli" alijiuliza na kujipa jibu Noela huku Oscar akijizuia kutoa kicheko kwa swali alilouliza Noela.
"umewakatia n'gombe majani tayari"
"ndio dada" alijibu bila wasiwasi.
"aah! Sawa nenda ukaendelee na kazi zako basi" alisema Noela huku akirejea ndani,mumewe alikuwa yupo ndani sebuleni anapata kifungua kinywa kabla ya ya kwenda kazini.
"kwa nini alinijia ndotoni kijana huyu mh!!" alijiuliza Noela wakati akirejea ndani.
"mi naenda mke wangu ubaki salama eeh!"
"haya na wewe kazi njema mpenzi" waliagana Noela na Timoth.
Dakika kumi baada ya Timoth kuondoka,huku akiwa na wasiwasi Noela alimwita tena Oscar kwa lengo kuu la kumuhoji kulikoni,hakujua ataanzia wapi lakini alimwita. Tangu aamke asubuhi alikuwa na nguo yake ya kulalia na alipomwita Oscar bado alikuwa na nguo ileile
"naam mama!" aliitikia Oscar huku akiacha shughuli zake na kusogea alipokuwa Noela.
"Hivi unaitwa nani vile?" aliuliza Noela."Aah! Unaitwa Oscar kweli" alijiuliza na kujipa jibu Noela huku Oscar akijizuia kutoa kicheko kwa swali alilouliza Noela.
"umewakatia n'gombe majani tayari"
"ndio dada" alijibu bila wasiwasi.
"aah! Sawa nenda ukaendelee na kazi zako basi" alisema Noela huku akirejea ndani,mumewe alikuwa yupo ndani sebuleni anapata kifungua kinywa kabla ya ya kwenda kazini.
"kwa nini alinijia ndotoni kijana huyu mh!!" alijiuliza Noela wakati akirejea ndani.
"mi naenda mke wangu ubaki salama eeh!"
"haya na wewe kazi njema mpenzi" waliagana Noela na Timoth.
Dakika kumi baada ya Timoth kuondoka,huku akiwa na wasiwasi Noela alimwita tena Oscar kwa lengo kuu la kumuhoji kulikoni,hakujua ataanzia wapi lakini alimwita. Tangu aamke asubuhi alikuwa na nguo yake ya kulalia na alipomwita Oscar bado alikuwa na nguo ileile
"naam dada" aliingia Oscar baada ya kuingia ndani.
"kaa hapo hv" Noela alimwelekeza kwa kidole Oscar naye akakaa wakawa wanaangaliana uso kwa uso,Oscar hakuwa na wasiwasi hata kidogo lakini Noela ambaye ni mwenye nyumba alikuwa anatetemeka,vidole havikuisha kukunjwa kunjwa bila sababu,alishindwa cha kuanza kuongea,mdomo ukawa mzito sana,hali hiyo hata Oscar aliitambua japo hakujua kuna tatizo gani limemkuta Noela,singlendi aliyokuwa amevaa Oscar ilimkumbusha ile ndoto ya kwenye basi wakati wanasafiri.
"ulisema unatokea wapi Oscar"
"mimi wa Kigoma dada" alijibu kwa heshima Oscar ambaye nayeye sasa hofu ilianza kumwingia,alidhani anataka kusimamishwa kazi.
"KIgoma pazuri eeh" alianza kuzuga Noela.
"sio kama huku kwenu lakini" alijibu Oscar.
"unatamani kurudi huko au umepapenda hapa" aliuliza Noela
"kula sitaki kurudi maisha magumu sana kule"
"basi hautarudi na mimi napenda uwe hapa" alijieleza Noela ambaye ujasiri ulianza kumwingia
"sasa Oscar nilichokuitia ni..." mlio wa simu ulimkatisha Noela kuzungumza
"hebu nipatie hyo simu yangu" alimwomba Oscar aliyetii mara moja.
"halow! ...mchungaji....ndio...haya...sasa hivi nakuja" Noela alijibu maongezi ya kwenye simu haraka haraka huku akisimama,kuna jambo la muhimu sana ambalo alikuwa ameambiawa kwani hata pale sebuleni hakuaga akaingia chumbani.
Baada ya dakika ishirini hiv alirejea tayari akiwa ameoga na kubadili nguo
"Oscar naenda kanisani mara moja nimehtajika sawa" Noela alimuaga Oscar
"kaa hapo hv" Noela alimwelekeza kwa kidole Oscar naye akakaa wakawa wanaangaliana uso kwa uso,Oscar hakuwa na wasiwasi hata kidogo lakini Noela ambaye ni mwenye nyumba alikuwa anatetemeka,vidole havikuisha kukunjwa kunjwa bila sababu,alishindwa cha kuanza kuongea,mdomo ukawa mzito sana,hali hiyo hata Oscar aliitambua japo hakujua kuna tatizo gani limemkuta Noela,singlendi aliyokuwa amevaa Oscar ilimkumbusha ile ndoto ya kwenye basi wakati wanasafiri.
"ulisema unatokea wapi Oscar"
"mimi wa Kigoma dada" alijibu kwa heshima Oscar ambaye nayeye sasa hofu ilianza kumwingia,alidhani anataka kusimamishwa kazi.
"KIgoma pazuri eeh" alianza kuzuga Noela.
"sio kama huku kwenu lakini" alijibu Oscar.
"unatamani kurudi huko au umepapenda hapa" aliuliza Noela
"kula sitaki kurudi maisha magumu sana kule"
"basi hautarudi na mimi napenda uwe hapa" alijieleza Noela ambaye ujasiri ulianza kumwingia
"sasa Oscar nilichokuitia ni..." mlio wa simu ulimkatisha Noela kuzungumza
"hebu nipatie hyo simu yangu" alimwomba Oscar aliyetii mara moja.
"halow! ...mchungaji....ndio...haya...sasa hivi nakuja" Noela alijibu maongezi ya kwenye simu haraka haraka huku akisimama,kuna jambo la muhimu sana ambalo alikuwa ameambiawa kwani hata pale sebuleni hakuaga akaingia chumbani.
Baada ya dakika ishirini hiv alirejea tayari akiwa ameoga na kubadili nguo
"Oscar naenda kanisani mara moja nimehtajika sawa" Noela alimuaga Oscar
"akija kaka yako mwambie hvyo sawa!" alisisitiza Noela huku akipiga hatua haraka haraka kuelekea nje.
ITAENDELEA
JAMANI MCHUNGAJI!! SEHEMU YA (2)
4/
5
Oleh
Unknown